a) TUCTA: Shirikisho huru la vyama vya wafanyakazi-huu ni munganiko wa vyama vyote b) RAAWU: chama cha watafiti na waalamu wafanyakazi mbalimbali?. c) CWT: Chama cha Walimu Tanzania d) CHODAWU: Chama cha wafanyakazi wa mahotelini, mshambani na majumbani (please cross-check) e) TUICO: Chama cha wafanyakazi wa viwandani na taasisi za fedha f) JT: Chama cha waandishi wa Habari g) TAMICO: Chama Cha wafanyakazi wa Migodi na Ujenzi (please cross-check) h) TALGWU: Chama Cha wafanyakazi wa Serikali za mitaa i) TUGHE: Chama cha wafanyakazi wa serikali kuu na Afya (kindly cross-check)